Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA SIASA
  • CCM Wamteua Baba Levo Kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini
HABARI ZA SIASA

CCM Wamteua Baba Levo Kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini

August 23, 2025August 23, 2025 Udaku Special

Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa kimemteua Clayton Chiponda ‘Babalevo’ kuwa mgombea atakayepeperusha bendera ya chama hicho katika Jimbo la Kigoma Mjini mkoani Kigoma.

Hayo yamesemwa na Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi CPA Amos Makalla, akizungumza na wanahabari usiku wa Jumamosi Agosti 23, 2025 katika Makao Makuu ya CCM Dodoma.

Related Posts

HABARI ZA SIASA

Mkuu wa Gereza Kuu Ukonga Adai hajui Kama Tundu Lissu Aliwahi Kuwa Rais wa TLS

July 24, 2026 Udaku Special
HABARI ZA SIASA

Rais Samia Afanya Uteuzi na Uhamisho wa Viongozi Mbali Mbali

July 23, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: CCM Yamrudisha Ester Bulaya Kugombea Ubunge Jimbo la Bunda Mjini
Next: Esther Matiko Ateuliwa na CCM Kugombea Ubunge Tarime Mjini

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Timu ya Mamelodi Sundowns Wamtaka Elie Mpanzu wa Simba

  • Yanga Yawatambulisha Mihambo na Abdulnassir ‘Gamal’ Kutoka Mashujaa

  • Yanga SC Wachezaji Wageni Wanabaki Hawa tu Wengine Wote Wanatemwa

  • Rais wa Laliga Amtaka Rais wa FIFA Ajiuzulu

  • Balaa! Harusi ya Monalisa katoro ni zaidi ya Sendoff, Pesa zamwagwa, Magari, Pol Brand aonyesha

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.