Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Dalili Hii Inaonesha Yanga Tayari Washampiku Simba Usajili wa Allan Okello
HABARI ZA MICHEZO

Dalili Hii Inaonesha Yanga Tayari Washampiku Simba Usajili wa Allan Okello

December 24, 2025December 24, 2025 ajirayako

Mchezaji kinda na mwenye kiwango kizuri wa Timu ya Taifa ya Uganda Allan Okello amechochea tetesi za usajili wake baada ya kumfuata (kumfollow) rasmi Rais wa Yanga Engineer Hersi Said kwenye mtandao wa Instagram.

Mbali na hilo Okello pia amefollow ukurasa wa Klabu Yanga SC jambo linalozidi kuwapa mashabiki hisia kuwa kuna mazungumzo yanaendelea kati ya pande hizo mbili.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Arsène Wenger “Africa Nzima ilikuwa Dhidi ya Morocco”

January 19, 2026January 19, 2026 ajirayako
HABARI ZA MICHEZO

Yanga ya Depu na Okello Yamfunga Mtu Goli 6 Bila

January 19, 2026January 19, 2026 ajirayako

Post navigation

Previous: Timu ya Fulham Wavutiwa na Kiwango Cha Ibrahim Bacca
Next: Kiwango Cha Taifa Stars Kinaridhisha, Wasirudi Nyuma

Popular Posts

  • Timu ya Vipers Wameandika Haya Kuhusu Allan Okello

  • Diamond Platnumz Alitumia zaidi ya Milioni 200 Kumtibu Mkubwa Fella

  • Mtoto wa Mkubwa Fella Atoa Neno zito kuhusu Mama yake! Kuwa Maeneo ya Starehe Huku Fella Akiwa Ndani

  • Simba Kusajili Wachezaji Watatu wa Kigeni

  • Simba Wamsajili Beki wa Pembeni wa Yanga Nickson Kibabage

  • Polisi Wadaiwa Kuzingira Nyumba ya Bibi Wine Mgombea Urais Uganda

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.