Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Dalili Hii Inaonesha Yanga Tayari Washampiku Simba Usajili wa Allan Okello
HABARI ZA MICHEZO

Dalili Hii Inaonesha Yanga Tayari Washampiku Simba Usajili wa Allan Okello

December 24, 2025December 24, 2025 ajirayako

Mchezaji kinda na mwenye kiwango kizuri wa Timu ya Taifa ya Uganda Allan Okello amechochea tetesi za usajili wake baada ya kumfuata (kumfollow) rasmi Rais wa Yanga Engineer Hersi Said kwenye mtandao wa Instagram.

Mbali na hilo Okello pia amefollow ukurasa wa Klabu Yanga SC jambo linalozidi kuwapa mashabiki hisia kuwa kuna mazungumzo yanaendelea kati ya pande hizo mbili.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

SportPesa’s Aviator New Limits Attract Millions in Tanzania

February 11, 2026February 11, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Hatimaye Simba Wampa Kibu Denis Mkono wa Kwaheri

February 10, 2026February 10, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Timu ya Fulham Wavutiwa na Kiwango Cha Ibrahim Bacca
Next: Kiwango Cha Taifa Stars Kinaridhisha, Wasirudi Nyuma

Popular Posts

  • Harmonize Aeleza Yote Alivyorudiana na Kajala! Alivyombadilisha “Nafaidika zaidi, Karata ya Mwisho”

  • Hizi Hapa Hesabu Konki za Yanga Kufuzu Robo Fainali Klabu Bingwa

  • Mangungu Noma na Nusu Awajibu Wanaotaka Ajiuzulu

  • Hivi Ndivyo Mtoto wa Gaddafi, Saif al-Islam Alivyouawa Nyumbani Kwake Libya

  • Uhasama Usioisha: Kwanini Donald Trump anamchukia sana Barack Obama

  • Kesi ya Tundu Lissu Yapigwa Kalenda Mpaka February 11

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.