Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Dalili Hii Inaonesha Yanga Tayari Washampiku Simba Usajili wa Allan Okello
HABARI ZA MICHEZO

Dalili Hii Inaonesha Yanga Tayari Washampiku Simba Usajili wa Allan Okello

December 24, 2025December 24, 2025 ajirayako

Mchezaji kinda na mwenye kiwango kizuri wa Timu ya Taifa ya Uganda Allan Okello amechochea tetesi za usajili wake baada ya kumfuata (kumfollow) rasmi Rais wa Yanga Engineer Hersi Said kwenye mtandao wa Instagram.

Mbali na hilo Okello pia amefollow ukurasa wa Klabu Yanga SC jambo linalozidi kuwapa mashabiki hisia kuwa kuna mazungumzo yanaendelea kati ya pande hizo mbili.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Wachezaji Wa Simba SC Walioitwa Timu Zao Za Taifa

March 25, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

HATIMAYE Mchezaji Mo Salah Atangaza Kuachana na Liverpool

March 25, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Timu ya Fulham Wavutiwa na Kiwango Cha Ibrahim Bacca
Next: Kiwango Cha Taifa Stars Kinaridhisha, Wasirudi Nyuma

Popular Posts

  • Mbinu 5 za Kumfanya Mwanaume Ageuke Kuwa Sumaku Kwa Wanawake

  • Mbinu Nzuri Ya Kutongoza Kwa Wale Wanaoanza Kujifunza

  • Drogba Atoa Kauli Kupokonywa UBINGWA Senegal

  • Rais wa Senegal Atuma Salamu CAF, Atishia Kugomea Mashindano

  • Wastara Amlipua Vibaya Dudu Baya Baada ya Kumuita “Ombaomba” Amwambia haya mazito “uweke na namba”

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.