Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Dalili Hii Inaonesha Yanga Tayari Washampiku Simba Usajili wa Allan Okello
HABARI ZA MICHEZO

Dalili Hii Inaonesha Yanga Tayari Washampiku Simba Usajili wa Allan Okello

December 24, 2025December 24, 2025 ajirayako

Mchezaji kinda na mwenye kiwango kizuri wa Timu ya Taifa ya Uganda Allan Okello amechochea tetesi za usajili wake baada ya kumfuata (kumfollow) rasmi Rais wa Yanga Engineer Hersi Said kwenye mtandao wa Instagram.

Mbali na hilo Okello pia amefollow ukurasa wa Klabu Yanga SC jambo linalozidi kuwapa mashabiki hisia kuwa kuna mazungumzo yanaendelea kati ya pande hizo mbili.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Bubble Up Yatingisha Meridianbet, Mizunguko Kumwaga Zawadi

August 15, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Steve Barker Amgomea Oura Kuondoka Simba SC: Ofa ya Dola Milioni 1 Yakataliwa?

August 15, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Timu ya Fulham Wavutiwa na Kiwango Cha Ibrahim Bacca
Next: Kiwango Cha Taifa Stars Kinaridhisha, Wasirudi Nyuma

Popular Posts

  • Isaya Yunge Ni Nani? Mfahamuni Mtanzania Aliyeteka Hisia Kenya Baada ya Engagement na Binti wa Rais Ruto

  • Tanasha amtembelea Zuchu! Afunguka haya mazito, Diamond atajwa, Aonyesha upendo,Ampa zawadi hizi

  • Makala: Nashiriki Ngono na Wanaume 30 Per Day Nilishe Familia Yangu

  • Yanga Yanasa Saini ya Aziz K, Kucheza na Shalulile Pale Mbele

  • BREAKING NEWS: Yanga Yampiku Simba, Yamtambulisha Seleman Mwalimu ‘Gomez’

  • Mngqithi Afunguka Kipigo Kizito cha Yanga Siku ya Mwananchi

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.