Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Dalili Hii Inaonesha Yanga Tayari Washampiku Simba Usajili wa Allan Okello
HABARI ZA MICHEZO

Dalili Hii Inaonesha Yanga Tayari Washampiku Simba Usajili wa Allan Okello

December 24, 2025December 24, 2025 ajirayako

Mchezaji kinda na mwenye kiwango kizuri wa Timu ya Taifa ya Uganda Allan Okello amechochea tetesi za usajili wake baada ya kumfuata (kumfollow) rasmi Rais wa Yanga Engineer Hersi Said kwenye mtandao wa Instagram.

Mbali na hilo Okello pia amefollow ukurasa wa Klabu Yanga SC jambo linalozidi kuwapa mashabiki hisia kuwa kuna mazungumzo yanaendelea kati ya pande hizo mbili.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Serengeti Boys Wawili Waitwa Taifa Stars ya Wakubwa

May 30, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Haji Manara: Hatutaki Pressure Yoyote Kwa Serengeti Boys

May 30, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Timu ya Fulham Wavutiwa na Kiwango Cha Ibrahim Bacca
Next: Kiwango Cha Taifa Stars Kinaridhisha, Wasirudi Nyuma

Popular Posts

  • Bodi ya ligi yaingilia kati suala la penati ya Simba na Dodoma Jiji

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariff majini Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

  • Steve Nyerere amlipua vibaya Msigwa kurudi CHADEMA amuita Kinyonga “Umejidhalilisha” afunguka mazito

  • The Top 10 African clubs, CAF Club Ranking 2026

  • Kusaga Avunja Ukimya Kuhusishwa Ugomvi na Diamond! Ampa Ukweli Wake Diamond, Haya yaelezwa

  • Mamake Zuchu Ajibu Madai Kwamba Msanii Huyo Anatarajia Mtoto wa Kwanza na Diamond Platnumz

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.