Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Elie Mpanzu Aitosa SIMBA Kambi ya Mazoezi
Elie Mpanzu Aitosa SIMBA Kambi ya Mazoezi
HABARI ZA MICHEZO Sports Gossip

Elie Mpanzu Aitosa SIMBA Kambi ya Mazoezi

August 4, 2025August 4, 2025 Udaku Special

BREAKING 🚨: ELIE MPANZU HAJAWASILI MAZOEZINI.

Mpaka sasa Mchezaji wa Simba Mcongo Elie Mpanzu hajawasili kwenye kambi ya timu ya Simba iliyopo Pre-Season nchini Misri.

Mpanzu hajatoa taarifa yeyote kuhusu kuchelewa kwake kwenye kambi ya Pre-season.

Uongozi wa Simba unaendelea kufanya juhudi za kumtafuta ili aungane na wenzake kuelekea maandalizi ya Msimu Mpya

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Majirani wanavyoteseka kwa mafanikio ya Taifa Stars

January 3, 2026January 3, 2026 ajirayako
HABARI ZA MICHEZO

Gamondi Ashangazwa Mchezaji wake Muhimu Tchakei Kuuzwa Yanga

January 3, 2026January 3, 2026 ajirayako

Post navigation

Previous: Wananchi wa Jimbo la Kisesa Wamlilia Luhaga Mpina “Hatuoni Kosa Lolote Alilofanya”
Next: Nyota wa PSG, Achraf Hakimi Akabiliwa na Kesi ya Ubakaji

Popular Posts

  • HARMONIZE na Paula Wamaliza tofauti zao wapeana MIKONO, Paula ndio muandaaji wa Shughuli Yote hii

  • HUZUNI Kubwa, Watu Wawili Waliofariki kwenye AJALI ya Anthony Joshua Kumbe ni Makocha na Marafiki zake

  • Taifa Stars Baada ya Kufuzu hatua ya 16 Bora ya AFCON itavuna Bilioni 1.9

  • Chadema Wakusanya Milioni 14 Ndani ya Masaa 24 Kwa Ajili ya Tundu Lissu

  • Walichokifanya Yanga Baada ya Diarra Kuonesha Kiwango Bora AFCON

  • Kouassi Yao Hapakaliki Yanga, Hati Hati Kukatwa

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.