Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Elie Mpanzu Aitosa SIMBA Kambi ya Mazoezi
HABARI ZA MICHEZO Sports Gossip

Elie Mpanzu Aitosa SIMBA Kambi ya Mazoezi

August 4, 2025August 4, 2025 Udaku Special

BREAKING 🚨: ELIE MPANZU HAJAWASILI MAZOEZINI.

Mpaka sasa Mchezaji wa Simba Mcongo Elie Mpanzu hajawasili kwenye kambi ya timu ya Simba iliyopo Pre-Season nchini Misri.

Mpanzu hajatoa taarifa yeyote kuhusu kuchelewa kwake kwenye kambi ya Pre-season.

Uongozi wa Simba unaendelea kufanya juhudi za kumtafuta ili aungane na wenzake kuelekea maandalizi ya Msimu Mpya

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Bodi ya ligi yaingilia kati suala la penati ya Simba na Dodoma Jiji

May 25, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Mbappe Mfungaji Bora wa Laliga Kwa Msimu wa Pili Mfululizo

May 24, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Wananchi wa Jimbo la Kisesa Wamlilia Luhaga Mpina “Hatuoni Kosa Lolote Alilofanya”
Next: Nyota wa PSG, Achraf Hakimi Akabiliwa na Kesi ya Ubakaji

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Ali Kamwe Amshambulia Vibaya Meena Ally Mitandaoni! Kumuonyesha Rio goli la Chama “tutaharibu”

  • Simba Akwea Kileleni, Chama Nyota Mechi ya 5 Mfululizo

  • Mchungaji Maarufu Nchini Nigeria Awaomba Msamaha Mashabiki wa Arsenal Baada ya Utabiri wa Uongo

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.