Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Elie Mpanzu Aitosa SIMBA Kambi ya Mazoezi
HABARI ZA MICHEZO Sports Gossip

Elie Mpanzu Aitosa SIMBA Kambi ya Mazoezi

August 4, 2025August 4, 2025 Udaku Special

BREAKING 🚨: ELIE MPANZU HAJAWASILI MAZOEZINI.

Mpaka sasa Mchezaji wa Simba Mcongo Elie Mpanzu hajawasili kwenye kambi ya timu ya Simba iliyopo Pre-Season nchini Misri.

Mpanzu hajatoa taarifa yeyote kuhusu kuchelewa kwake kwenye kambi ya Pre-season.

Uongozi wa Simba unaendelea kufanya juhudi za kumtafuta ili aungane na wenzake kuelekea maandalizi ya Msimu Mpya

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Yanga Yawasba Moto Sokoni: Yawatambulisha Touré, Zakouani na Kangwanda

July 25, 2026July 25, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Simba’s Transfer Master Touch: Coastal Union Star Bakari Msimu Arrives to Lead New Charge

July 24, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Wananchi wa Jimbo la Kisesa Wamlilia Luhaga Mpina “Hatuoni Kosa Lolote Alilofanya”
Next: Nyota wa PSG, Achraf Hakimi Akabiliwa na Kesi ya Ubakaji

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Timu ya Mamelodi Sundowns Wamtaka Elie Mpanzu wa Simba

  • Yanga Yawatambulisha Mihambo na Abdulnassir ‘Gamal’ Kutoka Mashujaa

  • Yanga SC Wachezaji Wageni Wanabaki Hawa tu Wengine Wote Wanatemwa

  • Diva Amvaa Shekh Mwaipopo “Unatafuta Kiki Kumgandamiza Shekh Walid”

  • Rais wa Laliga Amtaka Rais wa FIFA Ajiuzulu

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.