Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Fiston Mayele Aingia Tatu Bora Tuzo ya Mchezaji Bora Afrika Tuzo za CAF
HABARI ZA MICHEZO

Fiston Mayele Aingia Tatu Bora Tuzo ya Mchezaji Bora Afrika Tuzo za CAF

November 17, 2025November 17, 2025 ajirayako

Nyota wa Pyramids, Fiston Mayele ameingia katika tatu bora ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa  klabu kwa Afrika kwa mwaka 2025, huku Nahodha wa klabu ya Simba, Shomari Kapombe akiondoshwa katika kinyang’anyiro hicho.

Wachezaji wanaochuana na Mayele katika fainali ni Mohamed Chibi (Pyramids) na Oussama Lamlioui (RS Berkane).

Orodha ya awali iliyotangazwa na CAF ilikuwa na jumla ya wachezaji 10 akiwamo Kapombe.

CAF Awards, Fiston Mayele

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Klabu ya Simba Wamrejesha Clatous Chama Chamani

January 21, 2026January 21, 2026 ajirayako
HABARI ZA MICHEZO

Mchezaji Aziz K Aondoka Wydad, Asajiliwa na Al-Ittihad ya Libya

January 21, 2026January 21, 2026 ajirayako

Post navigation

Previous: Klabu Hizi Zaingia Tatu Bora Tuzo ya Klabu Bora Afrika Tuzo za CAF…Simba Out
Next: KOCHA wa zamani wa Yanga, Sead Ramovic Aipiga Mkwala Singida Black Stars

Popular Posts

  • Simba Kusajili Wachezaji Watatu wa Kigeni

  • Simba Wamsajili Beki wa Pembeni wa Yanga Nickson Kibabage

  • Dudu Baya Akinukisha Teana Baada ya Kuona Video ya Mkubwa Fela na Mkewe

  • Polisi Wadaiwa Kuzingira Nyumba ya Bibi Wine Mgombea Urais Uganda

  • Arsène Wenger “Africa Nzima ilikuwa Dhidi ya Morocco”

  • BREAKING; CAF Yamsimamisha Kazi Kocha wa Senegal

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.