Hii Hapa Timu ya Kwanza Kutoka Afrika Kufuzu Kombe la Dunia 2026

Timu ya Taifa ya Morocco imekuwa timu ya kwanza kutoka Afrika kukata tiketi ya kushiriki kombe la Dunia la FIFA 2026 kufuatia ushindi wa 5-0 dhidi ya Niger.

Morocco itashiriki michuano hiyo kwa mara ya 7 baada ya kufanya hivyowaka 1970, 1986, 1994, 1998, 2018, 2022 na 2026

FT: Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ 5-0 ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ช Niger
โšฝ 29โ€™ 38โ€™ Saibari
โšฝ 51โ€™ El Kaabi
โšฝ 69โ€™ Igamane
โšฝ 85โ€™ Ounahi

MATOKEO MENGINE #WCQ2026 AFRIKA
Egypt ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ 2-0 ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡น Ethiopia
Senegal ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ 2-0 ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ Sudan
Ivory Coast ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ 1-0 ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ Burundi
Mauritania ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ท 2-0 ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฌ Togo

Related Posts