
Timu ya Taifa ya Morocco imekuwa timu ya kwanza kutoka Afrika kukata tiketi ya kushiriki kombe la Dunia la FIFA 2026 kufuatia ushindi wa 5-0 dhidi ya Niger.
Morocco itashiriki michuano hiyo kwa mara ya 7 baada ya kufanya hivyowaka 1970, 1986, 1994, 1998, 2018, 2022 na 2026
FT: Morocco ๐ฒ๐ฆ 5-0 ๐ณ๐ช Niger
โฝ 29โ 38โ Saibari
โฝ 51โ El Kaabi
โฝ 69โ Igamane
โฝ 85โ Ounahi
MATOKEO MENGINE #WCQ2026 AFRIKA
Egypt ๐ช๐ฌ 2-0 ๐ช๐น Ethiopia
Senegal ๐ธ๐ณ 2-0 ๐ธ๐ฉ Sudan
Ivory Coast ๐จ๐ฎ 1-0 ๐ง๐ฎ Burundi
Mauritania ๐ฒ๐ท 2-0 ๐น๐ฌ Togo
