
Iran imesema haina mpango wa kuishambulia Kenya, kwa sababu kambi ya kijeshi ya Marekani nchini Kenya haina uwezo wa kuilenga Iran.
Iran imejibu mashambulizi kwa kulenga vituo vya kijeshi vya Marekani vilivyopo katika nchi za Mashariki ya Kati.

Iran imesema haina mpango wa kuishambulia Kenya, kwa sababu kambi ya kijeshi ya Marekani nchini Kenya haina uwezo wa kuilenga Iran.
Iran imejibu mashambulizi kwa kulenga vituo vya kijeshi vya Marekani vilivyopo katika nchi za Mashariki ya Kati.