Kennedy Musonda Kutimkia klabu ya Al Ittihad ya Libya

 

Kennedy Musonda Kutimkia klabu ya Al Ittihad ya Libya

Kennedy Musonda anatarajiwa kujiunga na klabu ya Al Ittihad ya Libya kwa msimu ujao wa 2025-26 akitokea Yanga SC 🇹🇿

Taarifa ya ndani inaelezea kuwa Yanga hawana mpango wa kuendelea kubaki na mchezaji huyu

Related Posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *