HABARI ZA MICHEZO Kennedy Musonda Kutimkia klabu ya Al Ittihad ya Libya April 24, 2025 Udaku Special Kennedy Musonda anatarajiwa kujiunga na klabu ya Al Ittihad ya Libya kwa msimu ujao wa 2025-26 akitokea Yanga SC 🇹🇿 Taarifa ya ndani inaelezea kuwa Yanga hawana mpango wa kuendelea kubaki na mchezaji huyu Related Posts HABARI ZA MICHEZO ‘Star Boy’ Allan Okello Atinga Kilele cha Pasi za Mabao Ligi Kuu April 17, 2026 Udaku Special HABARI ZA MICHEZO Yanga Mtu Mbaya Sana, Waitandika Mabao 6 Mbeya City Bila Huruma April 17, 2026 Udaku Special