Klabu ya Simba Sc Yaporomoka Viwango vya Ubora wa Vilabu Barani Afrika

Klabu ya Simba Sc imeporomoka kutoka nafasi ya tano mpaka nafasi ya 8 kwenye viwango vya ubora wa vilabu barani Afrika ndani ya miaka mitano iliyopita vilivyotoka baada ya kutamatika kwa hatua ya makundi ya michuano ya CAF kwa msimu wa 2025/26.

Simba Sc ipo nafasi ya nane ikiwa na pointi 38 huku mahasimu wao, Young Africans Sc wakiwa nafasi ya 10 baada ya kukusanya pointi 35 kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita. Azam FC na Singida Black Stars wapo nafasi ya 35 kila mmoja akiwa na pointi 5.

  1. πŸ‡ͺπŸ‡¬ Al Ahly – 66 pts
  2. πŸ‡ΏπŸ‡¦ Sundowns – 58 pts
  3. πŸ‡ΉπŸ‡³ Esperance Tunis – 53 pts
  4. πŸ‡²πŸ‡¦ RS Berkane – 52 pts
  5. πŸ‡ͺπŸ‡¬ Pyramids – 48 pts
  6. πŸ‡ΈπŸ‡© Al Hilal – 39 pts
  7. πŸ‡ͺπŸ‡¬ Zamalek – 39 pts
    πŸ–. πŸ‡ΉπŸ‡Ώ π’π’π¦π›πš – πŸ‘πŸ– 𝐩𝐭𝐬
  8. πŸ‡©πŸ‡Ώ USMA – 37 pts
    𝟏𝟎. πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 𝐘𝐚𝐧𝐠𝐚 – πŸ‘πŸ“ 𝐩𝐭𝐬

Related Posts