Kufungwa Kwa Taifa Stars na Nigeria Kwampa Davido Milioni 268

Star wa muziki wa Nigeria Davido amevuna kiasi cha shilingi milioni 268.6 baada ya Mkeka wake kutiki

Davido alibeti kiasi cha shilingi za Kitanzania million 68.1 kwenye mchezo wa Nigeria dhidi ya Tanzania kwamba umalizike kwa timu zote mbili kupata bao wataalamu wanaita GG

Mchezo umemalizika Nigeria 2:1 Tanzania.

Related Posts