Nature

Maskini Aziz K, Acheza Dakika Kumi na Moja tu Mechi zote Kombe la Dunia la Vilabu

Nyota Stephane Aziz Ki anayekipiga Wydad Casablanca akitokea Yanga kwenye Kombe la Dunia la Vilabu amecheza dakika 11 tu akiwa na jezi ya timu hiyo.

🏟️ Mechi _________2
⏱️ Dakika_________11
⚽ Mashuti_______3

▫️Aliingia sub dakika ya 87’ dhidi ya Juventus akichukuq nafasi ya Fahad

▫️Aliingia sub pia dakika ya 84’ dhidi ya Man City akichukua nafasi ya Lorch , kwenye mechi hii ziliongezwa dakika 2 hivyo alicheza dakika 8 tu na kufanya jumla ziwe dakika 11

Related Posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *