Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • Ajali
  • Moto Mkubwa Wateketeza Soka la Kawe Dar es Salaam
Ajali

Moto Mkubwa Wateketeza Soka la Kawe Dar es Salaam

September 15, 2025September 15, 2025 Udaku Special

Moto mkubwa ulizuka na kuteketeza Soko Kuu la Kawe lililopo eneo Ukwamani, kuanzia mida ya usiku wa saa kuamkia leo.

Kwa mujibu wa mashuhuda wamesema, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lilifika eneo la tukio mara baada ya taarifa kutolewa na walijitahidi kuokoa baadhi ya mali lakini asilimia 70 ya mali zimeteketea kwa moto huo.

Chanzo cha moto huo hakijafahamika mpaka muda huu.

View this post on Instagram

A post shared by Maulid Kitenge (@maulidkitenge)

Related Posts

Ajali

Polisi Wadai Ajali ya Shilole Haijaripotiwa Kituo Chochote, Atakiwa Kutoa Ripoti

January 4, 2026January 4, 2026 ajirayako
Ajali

Shilole Apata Ajali Mbaya ya Gari Baada ya Kugonga Ngombe

January 3, 2026January 3, 2026 ajirayako

Post navigation

Previous: INEC Yamuondoa Mpina Kwenye Kinyang’anyiro cha Urais
Next: Tazama Video Jinsi Mwanariadha Alphonce Felix Simbu Alivyoshinda Medali ya Dhahabu

Popular Posts

  • Dudu Baya Akinukisha Teana Baada ya Kuona Video ya Mkubwa Fela na Mkewe

  • Simba Wamsajili Beki wa Pembeni wa Yanga Nickson Kibabage

  • Arsène Wenger “Africa Nzima ilikuwa Dhidi ya Morocco”

  • Polisi Wadaiwa Kuzingira Nyumba ya Bibi Wine Mgombea Urais Uganda

  • BREAKING; CAF Yamsimamisha Kazi Kocha wa Senegal

  • Rais Museveni wa Uganda Amteua Binti yake Bi. Natasha Museveni kuwa Gavana wa Benki Kuu

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.