Msumbiji Waweka Rekodi ya Kupigwa Bao Nyingi AFCON 2025

AFCON 2025 | MOROCCO πŸ‡²πŸ‡¦

𝐅𝐔𝐋𝐋 π“πˆπŒπ„ :

NIGERIA πŸ‡³πŸ‡¬ 4-0 MOZAMBIQUE πŸ‡²πŸ‡Ώ
⚽️ 20” Lookman
⚽️ 25” Osimhen
⚽️ 47” Osimhen
⚽️ 75” Adams

Nigeria ndio timu inayoongoza kutoa vichapo haijwahi kufungwa wala droo , Msumbiji ndio timu iliyokula kichapo kikubwa hadi sasa

LOOKMAN ana kila dalili za kuwa mchezaji bora wa mashindano labda mambo yabadilike mbeleni

Related Posts