AFCON 2025 | MOROCCO ๐ฒ๐ฆ
๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ :
NIGERIA ๐ณ๐ฌ 4-0 MOZAMBIQUE ๐ฒ๐ฟ
โฝ๏ธ 20โ Lookman
โฝ๏ธ 25โ Osimhen
โฝ๏ธ 47โ Osimhen
โฝ๏ธ 75โ Adams
Nigeria ndio timu inayoongoza kutoa vichapo haijwahi kufungwa wala droo , Msumbiji ndio timu iliyokula kichapo kikubwa hadi sasa
LOOKMAN ana kila dalili za kuwa mchezaji bora wa mashindano labda mambo yabadilike mbeleni
