Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Paul Makonda Ateuliwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
HABARI ZA MICHEZO

Paul Makonda Ateuliwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

January 9, 2026January 9, 2026 ajirayako

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Paul Christian Makonda kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, akichukua nafasi ya Prof. Palamagamba John Aidan Kabudi ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum).

Uteuzi huo umefanyika hii leo Januari 8, 2026 ambapo kabla ya uteuzi huu, Makonda alikuwa Naibu Waziri katika Wizara hiyo.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Hatimaye Simba Wampa Kibu Denis Mkono wa Kwaheri

February 10, 2026February 10, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Timu Zinazocheza Soka la Kuvutia Mashindano ya CAF Zatajwa

February 10, 2026February 10, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Simbachawene Atenguliwa Uwaziri Mambo ya Ndani
Next: Lulu Diva Afunguka Kumzunguka Wema Sepetu Kwa Whozu

Popular Posts

  • Harmonize Aeleza Yote Alivyorudiana na Kajala! Alivyombadilisha “Nafaidika zaidi, Karata ya Mwisho”

  • Hizi Hapa Hesabu Konki za Yanga Kufuzu Robo Fainali Klabu Bingwa

  • Mangungu Noma na Nusu Awajibu Wanaotaka Ajiuzulu

  • Hivi Ndivyo Mtoto wa Gaddafi, Saif al-Islam Alivyouawa Nyumbani Kwake Libya

  • Tahadhari ya Mvua Kubwa Mikoa sita, Wananchi Watahadhirishwa Kukaa Kiaskari

  • Wekundu wa Msimbazi Simba Waumaliza Mwendo Ligi ya Mabingwa Afrika

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.