Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Paul Makonda Ateuliwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
HABARI ZA MICHEZO

Paul Makonda Ateuliwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

January 9, 2026January 9, 2026 ajirayako

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Paul Christian Makonda kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, akichukua nafasi ya Prof. Palamagamba John Aidan Kabudi ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum).

Uteuzi huo umefanyika hii leo Januari 8, 2026 ambapo kabla ya uteuzi huu, Makonda alikuwa Naibu Waziri katika Wizara hiyo.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Rais wa Laliga Amtaka Rais wa FIFA Ajiuzulu

July 22, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Yanga Yawatambulisha Mihambo na Abdulnassir ‘Gamal’ Kutoka Mashujaa

July 21, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Simbachawene Atenguliwa Uwaziri Mambo ya Ndani
Next: Lulu Diva Afunguka Kumzunguka Wema Sepetu Kwa Whozu

Popular Posts

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariff majini Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

  • Bella Aibua Mapya ya Shekh Walid! Amtaka Waziri Gwajima, Video za CCTV, Asema wanawake wengine wapo

  • Bella Atoa Masaa 24 kwa Diva Aseme Ukweli Kuhusu Shekh Walid na DNA ya mtoto’Sikukimbia Usinichafue’

  • FIFA Yamtangaza Mwamuzi wa Fainali ya Kombe la Dunia 2026 Argentina vs Hispania Kesho

  • Timu ya Mamelodi Sundowns Wamtaka Elie Mpanzu wa Simba

  • Hatimaye Sheikh Walid Akabidhi Ofisi

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.