UPDATE: PACOME ZOUZOUA

– Menejimenti ya Kiungo Pacome Zouzoua imepokea ofa kubwa kutoka klabu ya Simba SC ili kupata saini yake na inaifanyia kazi ofa hiyo

– Pacome mpaka sasa hajasaini mkataba mpya na Yanga SC na mkataba wake na Wananchi unamalizika mwishoni mwa msimu huu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *