Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Simba Yamnasa Nyota wa Kenya, Mohamed Bajaber!
Simba Yamnasa Nyota wa Kenya, Mohamed Bajaber!
HABARI ZA MICHEZO Sports News

Simba Yamnasa Nyota wa Kenya, Mohamed Bajaber!

August 3, 2025August 3, 2025 Udaku Special

Klabu ya Simba SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa msimu ujao kwa kumsajili kiungo mshambuliaji kutoka Timu ya Taifa ya Kenya (Harambee Stars), Mohamed Bajaber.

Bajaber (miaka 22), ambaye alikuwa akikipiga Kenya Police FC, amesaini mkataba wa miaka miwili ambao utamuweka Msimbazi hadi Juni 2027.

Ni sehemu ya mikakati ya Wekundu wa Msimbazi kujenga kikosi imara kuelekea msimu mpya wa mashindano ya ndani na kimataifa.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Taarifa Kuhusu Victor Osimhen Kujitoa Timu ya Taifa ya Nigeria Kisa Mchezaji Lookman

January 7, 2026January 7, 2026 ajirayako
HABARI ZA MICHEZO

Timu ya Taifa ya Ivory Coast Yatinga Robo Fainali AFCON 2025

January 6, 2026January 6, 2026 ajirayako

Post navigation

Previous: Tanzania Yamfunga Borkina Faso 2 Bila Mashindano ya CHAN
Next: Magereza Yakanusha Kumsukuma Lissu, Yatoa Maelezo Rasmi

Popular Posts

  • Taifa Stars Baada ya Kufuzu hatua ya 16 Bora ya AFCON itavuna Bilioni 1.9

  • Chadema Wakusanya Milioni 14 Ndani ya Masaa 24 Kwa Ajili ya Tundu Lissu

  • Kouassi Yao Hapakaliki Yanga, Hati Hati Kukatwa

  • Deal la Yanga Kumsajili Allan Okello Lashindikana, Sababu Hizi Hapa

  • Uongozi wa mchezaji Aziz Ki umetoa ufafanuzi Rasmi Kuhusu mtoto Wake Kufariki…

  • Ndugu wa Diamond Platinumz hawampendi Zuchu

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.