Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Simba Yamnasa Nyota wa Kenya, Mohamed Bajaber!
HABARI ZA MICHEZO Sports News

Simba Yamnasa Nyota wa Kenya, Mohamed Bajaber!

August 3, 2025August 3, 2025 Udaku Special

Klabu ya Simba SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa msimu ujao kwa kumsajili kiungo mshambuliaji kutoka Timu ya Taifa ya Kenya (Harambee Stars), Mohamed Bajaber.

Bajaber (miaka 22), ambaye alikuwa akikipiga Kenya Police FC, amesaini mkataba wa miaka miwili ambao utamuweka Msimbazi hadi Juni 2027.

Ni sehemu ya mikakati ya Wekundu wa Msimbazi kujenga kikosi imara kuelekea msimu mpya wa mashindano ya ndani na kimataifa.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Simba ya Doumbia Yaanza Msimu kwa Point Tatu Muhimu

August 17, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Cristiano Ronaldo Akubali Yaishe, Huu Ndio Mwaka wake wa Mwisho

August 17, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Tanzania Yamfunga Borkina Faso 2 Bila Mashindano ya CHAN
Next: Magereza Yakanusha Kumsukuma Lissu, Yatoa Maelezo Rasmi

Popular Posts

  • Makala: Nashiriki Ngono na Wanaume 30 Per Day Nilishe Familia Yangu

  • DILI LAIVA MOROCCO: AS FAR Rabat Yaongeza Dau la Allan Okello, Yanga Yamweka Sokoni Baada ya Aziz Ki Kurejea

  • Yanga Yanasa Saini ya Aziz K, Kucheza na Shalulile Pale Mbele

  • BREAKING NEWS: Yanga Yampiku Simba, Yamtambulisha Seleman Mwalimu ‘Gomez’

  • Mngqithi Afunguka Kipigo Kizito cha Yanga Siku ya Mwananchi

  • Kocha Simba Asukuka Safu ya Ushambuliaji Kujibu Kipigo cha Yanga

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.