Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Simba Yamnasa Nyota wa Kenya, Mohamed Bajaber!
HABARI ZA MICHEZO Sports News

Simba Yamnasa Nyota wa Kenya, Mohamed Bajaber!

August 3, 2025August 3, 2025 Udaku Special

Klabu ya Simba SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa msimu ujao kwa kumsajili kiungo mshambuliaji kutoka Timu ya Taifa ya Kenya (Harambee Stars), Mohamed Bajaber.

Bajaber (miaka 22), ambaye alikuwa akikipiga Kenya Police FC, amesaini mkataba wa miaka miwili ambao utamuweka Msimbazi hadi Juni 2027.

Ni sehemu ya mikakati ya Wekundu wa Msimbazi kujenga kikosi imara kuelekea msimu mpya wa mashindano ya ndani na kimataifa.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Djigui Diarra agoma kusaini mkataba Yanga, atimkia timu hii

April 18, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

‘Star Boy’ Allan Okello Atinga Kilele cha Pasi za Mabao Ligi Kuu

April 17, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Tanzania Yamfunga Borkina Faso 2 Bila Mashindano ya CHAN
Next: Magereza Yakanusha Kumsukuma Lissu, Yatoa Maelezo Rasmi

Popular Posts

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Abdalla mpemba Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Ukweli Uliojificha Kuhusu BANGI, Je Ina Madhara Kwa Binadamu?

  • Ukweli Kuhusu Kuwa Adolf Hitler Alikuwa na Korodani Moja

  • Mapya Yaliyoibuka Kifo cha Mrembo wa Marekani aliyefia Zanzibar, maswali kuhusu mchumba wake

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.