Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Simba Yamnasa Nyota wa Kenya, Mohamed Bajaber!
HABARI ZA MICHEZO Sports News

Simba Yamnasa Nyota wa Kenya, Mohamed Bajaber!

August 3, 2025August 3, 2025 Udaku Special

Klabu ya Simba SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa msimu ujao kwa kumsajili kiungo mshambuliaji kutoka Timu ya Taifa ya Kenya (Harambee Stars), Mohamed Bajaber.

Bajaber (miaka 22), ambaye alikuwa akikipiga Kenya Police FC, amesaini mkataba wa miaka miwili ambao utamuweka Msimbazi hadi Juni 2027.

Ni sehemu ya mikakati ya Wekundu wa Msimbazi kujenga kikosi imara kuelekea msimu mpya wa mashindano ya ndani na kimataifa.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Mbappe Mfungaji Bora wa Laliga Kwa Msimu wa Pili Mfululizo

May 24, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Simba Akwea Kileleni, Chama Nyota Mechi ya 5 Mfululizo

May 22, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Tanzania Yamfunga Borkina Faso 2 Bila Mashindano ya CHAN
Next: Magereza Yakanusha Kumsukuma Lissu, Yatoa Maelezo Rasmi

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Ali Kamwe Amshambulia Vibaya Meena Ally Mitandaoni! Kumuonyesha Rio goli la Chama “tutaharibu”

  • Simba Akwea Kileleni, Chama Nyota Mechi ya 5 Mfululizo

  • Mchungaji Maarufu Nchini Nigeria Awaomba Msamaha Mashabiki wa Arsenal Baada ya Utabiri wa Uongo

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.