Takwimu za Washambuliaji Simba na Yanga Hadi Sasa

Takwimu za washambuliaji wa klabu za Simba na Yanga kwa msimu huu wa Ligi kuu 2024/25 Tanzania Bara hadi hivi sasa;

CLEMENT MZIZE [Yanga]

– Magoli saba [7]

– Pasi za mwisho tatu [3]

– Mchezaji bora wa Mwezi moja [1].

– Mchezaji bora wa Mchezo moja [1].

LEONEL ATEBA [Simba]

– Magoli saba [7].

– Pasi za mwisho mbili [2]

– Mchezaji bora wa mwezi 0

– Mchezaji bora wa Mchezo tatu [3].

PRINCE DUBE [Yanga]

– Magoli 5

– Pasi za mwisho 3

– Mchezaji bora wa mwezi 0

– Mchezaji bora wa mchezo 1

STEVEN MUKWARA [Simba]

– Magoli 4

– Pasi za mwisho 2

– Mchezaji bora wa mwezi 0

– Mchezaji bora wa mchezo 0.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *