
Timu ya Taifa ya Uhispania imeifuata Ufaransa kwenye nusu fainali ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi Mashetani Wekundu, Ubelgiji katika dimba la Los Angeles, California Marekani kwenye robo fainali.
FT: Spain 🇪🇸 2-1 🇧🇪 Belgium
⚽ 30’ Fabian Ruiz
⚽ 88’ Merino
⚽ 41’ De Ketelaere
