Walinicheka Kwa Kukosa Mtoto Kwa Miaka, Hawakujua Nilikuwa Karibu Kushuhudia Muujiza

Kwa miaka mingi nilitembea nikiwa nimeinama kichwa. Sikuwa na nguvu ya kuangalia watu machoni kwa sababu nilijua swali lingefuata. “Bado hamjapata mtoto?” Wengine hawakuishia hapo. Waliniita tasa bila huruma.

Wengine walinong’ona kuwa labda nilitoa mimba zamani na sasa ninavuna nilichopanda. Maneno yao yalikuwa kama sindano moyoni. Miaka ilivyozidi kusonga, ndivyo shinikizo…CONTINUE READING

Related Posts