Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Yanga Wamfuata Azam Fainali Kombe la Mapinduzi
HABARI ZA MICHEZO

Yanga Wamfuata Azam Fainali Kombe la Mapinduzi

January 10, 2026January 10, 2026 ajirayako

Wananchi, Young Africans Sc wametinga fainali ya kombe la NMB Mapinduzi 2026 kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Singida Black Stars kwenye nusu fainali katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar.

Yanga Sc watachuana na Azam Fc waliotinga hatua hiyo kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Simba Sc kwenye nusu fainali nyingine iliyopigwa jana.

FT: Singida Black Stars 0-1 Yanga Sc
⚽ 54’ Maxi
🟥 Damaro
🟥 Chukwu

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Clemence Mwandambo Afikishwa Mahakamani, Aachiwa Kwa Dhamana

January 10, 2026January 10, 2026 ajirayako
HABARI ZA MICHEZO

Alichokisema Ali Kamwe Baada ya Simba Kufungwa na Azam

January 9, 2026January 9, 2026 ajirayako

Post navigation

Previous: Alichokisema Ali Kamwe Baada ya Simba Kufungwa na Azam
Next: Clemence Mwandambo Afikishwa Mahakamani, Aachiwa Kwa Dhamana

Popular Posts

  • Mwijaku afunguka makubwa ugonjwa wa Mkubwa Fella! Amuomba Mwana FA kumsaidia Meneja wa Diamond

  • Shabiki wa Congo Anayesimama Kama Sanamu Kuzawadiwa Milioni 40

  • Wachezaji Nigeria Watia Mgomo Kisa Kutolipwa Bonasi za Ushindi

  • Ndugu wa Diamond Platinumz hawampendi Zuchu

  • Ahmed Ally na Barbara Gonzalez Kugombea Uenyekiti Simba

  • Kamala Harris Amkosoa Vikali Donald Trump Kumkamata Rais wa Venezuela

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.