Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Yanga Wamfuata Azam Fainali Kombe la Mapinduzi
HABARI ZA MICHEZO

Yanga Wamfuata Azam Fainali Kombe la Mapinduzi

January 10, 2026January 10, 2026 ajirayako

Wananchi, Young Africans Sc wametinga fainali ya kombe la NMB Mapinduzi 2026 kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Singida Black Stars kwenye nusu fainali katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar.

Yanga Sc watachuana na Azam Fc waliotinga hatua hiyo kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Simba Sc kwenye nusu fainali nyingine iliyopigwa jana.

FT: Singida Black Stars 0-1 Yanga Sc
⚽ 54’ Maxi
🟥 Damaro
🟥 Chukwu

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Hatimaye Simba Wampa Kibu Denis Mkono wa Kwaheri

February 10, 2026February 10, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Timu Zinazocheza Soka la Kuvutia Mashindano ya CAF Zatajwa

February 10, 2026February 10, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Alichokisema Ali Kamwe Baada ya Simba Kufungwa na Azam
Next: Clemence Mwandambo Afikishwa Mahakamani, Aachiwa Kwa Dhamana

Popular Posts

  • Harmonize Aeleza Yote Alivyorudiana na Kajala! Alivyombadilisha “Nafaidika zaidi, Karata ya Mwisho”

  • Mangungu Noma na Nusu Awajibu Wanaotaka Ajiuzulu

  • Hizi Hapa Hesabu Konki za Yanga Kufuzu Robo Fainali Klabu Bingwa

  • Hivi Ndivyo Mtoto wa Gaddafi, Saif al-Islam Alivyouawa Nyumbani Kwake Libya

  • Tahadhari ya Mvua Kubwa Mikoa sita, Wananchi Watahadhirishwa Kukaa Kiaskari

  • Wekundu wa Msimbazi Simba Waumaliza Mwendo Ligi ya Mabingwa Afrika

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.