Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Yanga Wamfuata Azam Fainali Kombe la Mapinduzi
HABARI ZA MICHEZO

Yanga Wamfuata Azam Fainali Kombe la Mapinduzi

January 10, 2026January 10, 2026 ajirayako

Wananchi, Young Africans Sc wametinga fainali ya kombe la NMB Mapinduzi 2026 kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Singida Black Stars kwenye nusu fainali katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar.

Yanga Sc watachuana na Azam Fc waliotinga hatua hiyo kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Simba Sc kwenye nusu fainali nyingine iliyopigwa jana.

FT: Singida Black Stars 0-1 Yanga Sc
⚽ 54’ Maxi
🟥 Damaro
🟥 Chukwu

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Rais wa Laliga Amtaka Rais wa FIFA Ajiuzulu

July 22, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Yanga Yawatambulisha Mihambo na Abdulnassir ‘Gamal’ Kutoka Mashujaa

July 21, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Alichokisema Ali Kamwe Baada ya Simba Kufungwa na Azam
Next: Clemence Mwandambo Afikishwa Mahakamani, Aachiwa Kwa Dhamana

Popular Posts

  • Bella Aibua Mapya ya Shekh Walid! Amtaka Waziri Gwajima, Video za CCTV, Asema wanawake wengine wapo

  • Bella Atoa Masaa 24 kwa Diva Aseme Ukweli Kuhusu Shekh Walid na DNA ya mtoto’Sikukimbia Usinichafue’

  • FIFA Yamtangaza Mwamuzi wa Fainali ya Kombe la Dunia 2026 Argentina vs Hispania Kesho

  • Timu ya Mamelodi Sundowns Wamtaka Elie Mpanzu wa Simba

  • Hatimaye Sheikh Walid Akabidhi Ofisi

  • Yanga Yawatambulisha Mihambo na Abdulnassir ‘Gamal’ Kutoka Mashujaa

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.