Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Yanga Yapigwa Faini Kisa Ushirikina
HABARI ZA MICHEZO

Yanga Yapigwa Faini Kisa Ushirikina

December 17, 2025December 17, 2025 ajirayako

Klabu ya Yanga imelimwa adhabu ya million tano (5,000,000) kwa kosa la shabiki wake kuonyesha kitendo cha kishirikina kwenye mchezo wa Ligi kuu dhidi ya Coastal Union (0-1).

Ripoti inaeleza kuwa shabiki wa klabu hiyo alienda kutoa kitu kwenye lango la Coastal Union kwenye mchezo ambao Yanga walikuwa wageni uliopigwa kwenye dimba la Jamhuri Jijini Dodoma.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Robo Fainali FA Yaibua Mvutano Mkali; Yanga Yapangwa na JKT, Simba Dhidi ya TRA United

April 18, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Djigui Diarra agoma kusaini mkataba Yanga, atimkia timu hii

April 18, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Nigeria Yapata Tumaini Jipya DR Congo Matatani Kwa Wachezaji Haramu Kufuzu Kombe la Dunia
Next: Donald Trump Aiongeza Tanzania Kwenye Vikwazo vya Kuingia Marekani

Popular Posts

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Abdalla mpemba Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Ukweli Uliojificha Kuhusu BANGI, Je Ina Madhara Kwa Binadamu?

  • Ukweli Kuhusu Kuwa Adolf Hitler Alikuwa na Korodani Moja

  • Mapya Yaliyoibuka Kifo cha Mrembo wa Marekani aliyefia Zanzibar, maswali kuhusu mchumba wake

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.