Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Yanga Yapigwa Faini Kisa Ushirikina
HABARI ZA MICHEZO

Yanga Yapigwa Faini Kisa Ushirikina

December 17, 2025December 17, 2025 ajirayako

Klabu ya Yanga imelimwa adhabu ya million tano (5,000,000) kwa kosa la shabiki wake kuonyesha kitendo cha kishirikina kwenye mchezo wa Ligi kuu dhidi ya Coastal Union (0-1).

Ripoti inaeleza kuwa shabiki wa klabu hiyo alienda kutoa kitu kwenye lango la Coastal Union kwenye mchezo ambao Yanga walikuwa wageni uliopigwa kwenye dimba la Jamhuri Jijini Dodoma.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Serengeti Boys Wawili Waitwa Taifa Stars ya Wakubwa

May 30, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Haji Manara: Hatutaki Pressure Yoyote Kwa Serengeti Boys

May 30, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Nigeria Yapata Tumaini Jipya DR Congo Matatani Kwa Wachezaji Haramu Kufuzu Kombe la Dunia
Next: Donald Trump Aiongeza Tanzania Kwenye Vikwazo vya Kuingia Marekani

Popular Posts

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariff majini Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

  • Bodi ya ligi yaingilia kati suala la penati ya Simba na Dodoma Jiji

  • Steve Nyerere amlipua vibaya Msigwa kurudi CHADEMA amuita Kinyonga “Umejidhalilisha” afunguka mazito

  • Kusaga Avunja Ukimya Kuhusishwa Ugomvi na Diamond! Ampa Ukweli Wake Diamond, Haya yaelezwa

  • The Top 10 African clubs, CAF Club Ranking 2026

  • Kijana Wa Kitanzania Aibuka Mshindi Mashindano Ya Nyuklia Kimataifa

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.