Sakata la msanii wa muziki wa Singeli nchini Tanzania, Mama Amina, limechukua sura mpya kufuatia kuibuka kwa mgogoro mzito unaomhusisha msanii huyo, meneja wake DJ Pacheco Midundo, pamoja na wanafamilia wake.
Zamaradi Aomba Mamlaka Ziingilie Sakata la Mama Amina, Achukizwa na Wanaomnyanyasa, Ahoji Haya
