
Wekundu wa Msimbazi, Simba Sc wamepata ushindi wa kwanza kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya vinara wa kundi D, Stade Malien katika dimba la Benjamin Mkapa.
Kwenye mchezo mwingine wa kundi hilo, Esperance de Tunis imeilaza Petro De Luanda mabao 2-0 na kuungana na Stade Malien kwenye hatua ya robo fainali huku Simba Sc na Petro Luanda kuaga mashindano hayo.
FT: Simba Sc 🇹🇿 1-0 🇲🇱 Stade Malien
⚽ 04’ Anicet Oura
Esperance Tunis 🇹🇳 2-0 🇦🇴 Petro De Luanda
⚽ 46’ Diakite
⚽ 82’ Diarra
MSIMAMO KUNDI D
🇹🇿 Simba Sc – pointi 5 (-2).
🇲🇱 Stade Malien – pointi 11 (+3)
🇹🇳 Esperance – pointi 9 (+2)
🇦🇴 Petro Luanda – pointi 6 (-3)
