
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC wameanza msimu wa Ligi kuu bara 2026/27 kwa ushindi baada ya kuwalaza Wanankurukumbi, Kagera Sugar FC mabao 2-0 katika dimba la Kaitaba, Kagera kwenye mchezo wa raundi ya kwanza wa Ligi hiyo.
FT: Kagera Sugar FC 0-2 Simba SC
⚽ 45+2’ Touré (🅰️ Libasse Gueye)
🟥 60’ Duchu
⚽ 69’ Mpanzu (🅰️ Libasse)
