
Taarifa za ndani ni kwamba Yangasc imefikia makubaliano ya kuachana na kocha wao mkuu Pedro Gonçalves kutokana na mwenendo wa timu usio ridhisha
Muda wowote kuanzia sasa Yangasc itatangaza bench jipya la ufundi ambalo litakwenda kumalizia msimu 2025/26.
