
Manchester City wametwaa ubingwa wa Kombe la Carabao (EFL Cup) kwa mara ya tisa kihistoria kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Washika Mitutu, Arsenal katika dimba la Wembley.
Man City wamebeba taji hilo la kwanza la msimu huu baada ya kutwaa pia mwaka 1970, 1976, 2014, 2016, 2018, 2019, 2020, 2021 na 2026.
FT: Arsenal 0-2 Man City
⚽ 60’ O’Reilly
⚽ 64’ O’Reilly
