
Kiungo Mshambuliaji wa klabu ya Simba Elie Mpanzu ameongeza mkataba wa miaka 2 kuendelea kubakia katika viunga vya Kariakoo baada ya mkataba wa mwanzo kuelekea ukingoni.
Kazi nzima ya kuongeza mkataba huo imesimamiwa na Tajiri na Rais wa Heshima Mohammed Dewji (Mo) baada ya kuridhishwa na kiwango cha Nyota huyo kutoka DRC Congo.
