HABARI ZA MICHEZO Kennedy Musonda Kutimkia klabu ya Al Ittihad ya Libya April 24, 2025 Udaku Special Kennedy Musonda anatarajiwa kujiunga na klabu ya Al Ittihad ya Libya kwa msimu ujao wa 2025-26 akitokea Yanga SC 🇹🇿 Taarifa ya ndani inaelezea kuwa Yanga hawana mpango wa kuendelea kubaki na mchezaji huyu Related Posts HABARI ZA MICHEZO Mchezaji Pacome Atoa Ishara ya Kuwaaga Wana Yanga Uwanjani Baada ya Kufunga Goli June 20, 2026 Udaku Special HABARI ZA MICHEZO Ureno Yaporomoka Kwenye Viwango vya Ubora Kombe la Dunia June 20, 2026 Udaku Special