
Bao pekee la Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama limeipatia Simba SC alama zote tatu dhidi ya Maafande wa JKT Tanzania katika dimba la Meja Janerali Isamuhyo.
Chama ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mechi kwa mechi ya pili mfululizo wakati Simba SC ikisogea mpaka alama tano nyuma ya Wananchi, Young Africans wakifikisha alama 46 baada ya mechi 21.
FT: Simba SC 1-0 JKT Tanzania
⚽ 54’ Chama (🅰️ Mpanzu)
