Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama Aibeba Simba Tena, Aipa Alama 3
HABARI ZA MICHEZO

Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama Aibeba Simba Tena, Aipa Alama 3

May 7, 2026 Udaku Special

Bao pekee la Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama limeipatia Simba SC alama zote tatu dhidi ya Maafande wa JKT Tanzania katika dimba la Meja Janerali Isamuhyo.

Chama ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mechi kwa mechi ya pili mfululizo wakati Simba SC ikisogea mpaka alama tano nyuma ya Wananchi, Young Africans wakifikisha alama 46 baada ya mechi 21.

FT: Simba SC 1-0 JKT Tanzania
⚽ 54’ Chama (🅰️ Mpanzu)

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

TFF Yamfungia Jamal Bakhresa Kujishughulisha na Mpira Kwa Mwaka Mmoja

August 23, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

MATOKEO ya Simba na Singida Black Stars Leo Tarehe 22 August 2026

August 22, 2026August 22, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Polisi Wakamata Watuhumiwa 4 Mauaji ya Mwanafunzi wa IFM Aliyekatwa Kichwa
Next: Star Boy Allan Okello Ang’ara Akiipa Yanga Pointi 3 Muhimu

Popular Posts

  • Kwa Nini Marubani wa Ndege Hula Chakula Tofauti Wanapokuwa Safarini?

  • Mtanzania Isaya akanusha kutelekeza Mke wa Kizungu na Mtoto kabla kumchumbia Mtoto wa Rais Ruto

  • Aliyedai fidia ya Sh40 milioni kwa kulea mimba ya mtoto asiye wake, agonga mwamba kortini

  • Mjengo wa Harmonize wakamilika, auonesha kwenye Instagram, ni noma!

  • Tundu Lissu: Sina Kesi ya Kujibu

  • Mr. Kuku Afunguka: Siri ya Anguko Lake Hadi Kufilisiwa Bilioni 5

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.