Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama Aibeba Simba Tena, Aipa Alama 3
HABARI ZA MICHEZO

Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama Aibeba Simba Tena, Aipa Alama 3

May 7, 2026 Udaku Special

Bao pekee la Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama limeipatia Simba SC alama zote tatu dhidi ya Maafande wa JKT Tanzania katika dimba la Meja Janerali Isamuhyo.

Chama ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mechi kwa mechi ya pili mfululizo wakati Simba SC ikisogea mpaka alama tano nyuma ya Wananchi, Young Africans wakifikisha alama 46 baada ya mechi 21.

FT: Simba SC 1-0 JKT Tanzania
⚽ 54’ Chama (🅰️ Mpanzu)

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Yanga Yatozwa Milioni 30, Meneja Wake Afungiwa Michezo Mitatu

May 11, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Betting in Tanzania: How to Pick Safe Sites and Win More Often

May 11, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Polisi Wakamata Watuhumiwa 4 Mauaji ya Mwanafunzi wa IFM Aliyekatwa Kichwa
Next: Star Boy Allan Okello Ang’ara Akiipa Yanga Pointi 3 Muhimu

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Zaidi ya Mashabiki Milioni 30 Wamtaka Mbappe Kuondoka Real Madrid

  • Marais wa Nchi za Afrika Waliokula Bata na Kutumia Pesa za Serikali Kuliko Marais Wote Afrika

  • Star Boy Allan Okello Ang’ara Akiipa Yanga Pointi 3 Muhimu

  • Ali Kamwe Afunguka Sababu ya Yanga Kumfuta Kazi Kocha Pedro Goncalves

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.