Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama Aibeba Simba Tena, Aipa Alama 3
HABARI ZA MICHEZO

Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama Aibeba Simba Tena, Aipa Alama 3

May 7, 2026 Udaku Special

Bao pekee la Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama limeipatia Simba SC alama zote tatu dhidi ya Maafande wa JKT Tanzania katika dimba la Meja Janerali Isamuhyo.

Chama ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mechi kwa mechi ya pili mfululizo wakati Simba SC ikisogea mpaka alama tano nyuma ya Wananchi, Young Africans wakifikisha alama 46 baada ya mechi 21.

FT: Simba SC 1-0 JKT Tanzania
⚽ 54’ Chama (🅰️ Mpanzu)

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Azam Kamateni DEPU Amsaidie Feisal Salum Pale Mbele

July 30, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

USAJILI: Yanga Kushtua Tanzania, Mchakato wa Kumrudisha Aziz K Umefika Pazuri

July 30, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Polisi Wakamata Watuhumiwa 4 Mauaji ya Mwanafunzi wa IFM Aliyekatwa Kichwa
Next: Star Boy Allan Okello Ang’ara Akiipa Yanga Pointi 3 Muhimu

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Huyu Hapa Mwanamke Aliyewahi Kuiba Pesa Nyingi Katika Benki ya NBC Hapa Tanzania

  • Hizi Hapa Faida Kubwa za Bamia Mwilini mwa Binadamu

  • Zuchu Awaomba Msamaha Aliowadharau Kisa Penzi Lake na Diamond “Nisameheni” amtumia Celine Dion

  • Pata Dawa Mpya za Kutengeneza Shepu ya Kudumu

  • Dr Nchimbi: Natamani Siku Moja Nikae na Maria Sarungi ‘Mtetezi wa Haki Sio Adui wa Amani’

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.