
Bao pekee la βStar Boy Allan Okello limeipatia Young Africans SC alama zote tatu ugenini dhidi ya βKino Boysβ KMC FC katika dimba la KMC Complex.
Wananchi wanaendelea kusalia kileleni wakisogea mpaka alama nane mbele ya Wekundu wa Msimbazi, Simba SC waliopo nafasi ya pili.
FT: KMC FC 0-1 Yanga SC
β½ 65β Okello
