Inasikitisha: Fei Toto Apigwa Bao Dakika za Jioni

Inasikitisha: Fei Toto Apigwa Bao Dakika za Jioni
Inasikitisha: Fei Toto Apigwa Bao Dakika za Jioni

Ndoto ya kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ya kubeba Kiatu cha Mfungaji Bora wa Ligi Kuu ya Bara (2025/26) imezimika rasmi leo Juni 30, 2026.

Mshambuliaji wa Singida Black Stars, Mossi Ndumumwe, ameamua kufanya umafia wa soka kwa kupiga ‘Hat-trick’ safi kwenye mechi dhidi ya Fountain Gate na kufikisha mabao 17 msimu huu.

Msimamo ulivyokuwa kabla ya leo:
1️⃣ Fei Toto (Azam) – Mabao 15
2️⃣ Mossi Ndumumwe (Singida BS) – Mabao 14
3️⃣ Allan Okello (Yanga) – Mabao 14

Kwa soka hili la leo, Mossi amewafunika Fei Toto na Allan Okello na kuondoka na tuzo kibindoni. Pole sana kwa Fei Toto aliyeweka pambano kubwa msimu mzima!

Related Posts