
Yanga wamemuweka sokoni mshambuliaji wao Depu kwenye dirisha hili kubwa la usajili.
Yanga watamuuza Depu ili kupata nafasi ya kumuingiza kwenye mfumo mshambuliaji wao mpya Peter Shalulile.
Depu bado ana mkataba wa miaka miwili na Yanga kwani January analisaini miaka miwili na nusu.
Kwa sasa Depu yuko Tanzania akiwa na kikosi cha Yanga.
Depu anaondoka Yanga
