Nature

Shaffih Sauda “Feisal Ndiye Kiungo Bora Kwa Sasa Nchini

Leo nna mzuka tu kuharibu biashara za watu , Anyway ipo hivi

1.Feisal ndiye kiungo bora kwa sasa Nchini hapo tukubaliane hakuna kabisa ubishi

2.Kuelekea msimu wa 2025/26 Feisal anastahili kuwa mchezaji anayelipwa pesa ndefu nchini , hapo pia hakuna ubishi

3.Watu wapo nje ya muda , Idara ya Habari imeambiwa iandae kabisa graphics za utambulisho hili pia halihitaji ubishi

Digala was here

Related Posts