
Bara la Afrika linaendelea kuweka historia baada ya kuingiza timu 10 kwenye hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026, timu 9 kati ya 10 zimetinga hatua ya mtoano ya michuano hiyo.
Tunisia imekuwa Taifa pekee Kati ya mataifa 10 yaliyofuzu kushiriki michuano hiyo kushindwa kuvuka hatua ya makundi baada ya kupoteza mechi zote tatu kwenye hatua hiyo na kushindwa kufuzu hatua ya 32 bora.
TIMU 9 ZA AFRIKA ZILIZOTINGA HATUA YA 32 BORA:
✅🇿🇦 South Africa
✅🇨🇻 Cape Verde
✅🇨🇮 Ivory Coast
✅🇲🇦 Morocco
✅🇸🇳 Senegal
✅🇬🇭 Ghana
✅🇪🇬 Egypt
✅🇨🇩 RD Congo
✅🇩🇿 Algeria
❌🇹🇳 Tunisia
