Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA SIASA
  • Ummy Mwalimu, Aondoshwa Kwenye Orodha ya Wagombea Walioteuliwa CCM
HABARI ZA SIASA

Ummy Mwalimu, Aondoshwa Kwenye Orodha ya Wagombea Walioteuliwa CCM

August 24, 2025August 24, 2025 Udaku Special

Aliyekuwa Mbunge wa Tanga Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ummy Mwalimu, ameondoshwa kwenye orodha ya wagombea walioteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.

Badala yake, CCM imempitisha Kassim Mbaraka kuwania nafasi ya ubunge wa jimbo hilo, hatua inayoashiria mabadiliko ya kiuongozi ndani ya chama kuelekea uchaguzi mkuu.

Related Posts

HABARI ZA SIASA

Mahakama Yawaachia Huru Wachokonozi

June 8, 2026 Udaku Special
HABARI ZA SIASA

Askofu wa Kanisa Katoliki Auawa Kwa Kupigwa Risasi Msumbiji

June 7, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Amos Makalla ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha
Next: Jinsi Nilivyofanikiwa Kupata Utajiri Kupitia Money Spell

Popular Posts

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariff majini Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

  • Atajwa kuchukua nafasi ya Ahmed Ally Simba SC

  • Kocha Nabi Amchana Ukweli Huu Rais wa Yanga SC.

  • Polisi Zanzibar Watoa Hitimisho la Kifo cha Ashlee Robinson, Uchunguzi Wabaini Alijinyonga

  • Ukweli Kuhusu Tetesi za Mchezaji PACOME Kuondoka Yanga, Huu Ndio Ukweli

  • Fiorentina Yataka Kumsajili Kinara wa Mabao AFCON U-17 Dismas Athanasi

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.