Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA SIASA
  • Ummy Mwalimu, Aondoshwa Kwenye Orodha ya Wagombea Walioteuliwa CCM
HABARI ZA SIASA

Ummy Mwalimu, Aondoshwa Kwenye Orodha ya Wagombea Walioteuliwa CCM

August 24, 2025August 24, 2025 Udaku Special

Aliyekuwa Mbunge wa Tanga Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ummy Mwalimu, ameondoshwa kwenye orodha ya wagombea walioteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.

Badala yake, CCM imempitisha Kassim Mbaraka kuwania nafasi ya ubunge wa jimbo hilo, hatua inayoashiria mabadiliko ya kiuongozi ndani ya chama kuelekea uchaguzi mkuu.

Related Posts

HABARI ZA SIASA

Trump Atangaza Ushindi Dhidi ya Iran, Asema Marekani Yadhibiti Anga ya Iran

March 26, 2026 Udaku Special
HABARI ZA SIASA

Jenerali Muhoozi “Uganda Ipo Tayari Kuingia Vitani Kuisaidia Israel”

March 26, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Amos Makalla ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha
Next: Jinsi Nilivyofanikiwa Kupata Utajiri Kupitia Money Spell

Popular Posts

  • Mbinu 5 za Kumfanya Mwanaume Ageuke Kuwa Sumaku Kwa Wanawake

  • Mbinu Nzuri Ya Kutongoza Kwa Wale Wanaoanza Kujifunza

  • Wastara Amlipua Vibaya Dudu Baya Baada ya Kumuita “Ombaomba” Amwambia haya mazito “uweke na namba”

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Basata Wamfungia Miaka Mitatu Mwanamuziki Halima wa Kibao Kata

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.