Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA SIASA
  • Ummy Mwalimu, Aondoshwa Kwenye Orodha ya Wagombea Walioteuliwa CCM
HABARI ZA SIASA

Ummy Mwalimu, Aondoshwa Kwenye Orodha ya Wagombea Walioteuliwa CCM

August 24, 2025August 24, 2025 Udaku Special

Aliyekuwa Mbunge wa Tanga Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ummy Mwalimu, ameondoshwa kwenye orodha ya wagombea walioteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.

Badala yake, CCM imempitisha Kassim Mbaraka kuwania nafasi ya ubunge wa jimbo hilo, hatua inayoashiria mabadiliko ya kiuongozi ndani ya chama kuelekea uchaguzi mkuu.

Related Posts

HABARI ZA SIASA

Mkuu wa Gereza Kuu Ukonga Adai hajui Kama Tundu Lissu Aliwahi Kuwa Rais wa TLS

July 24, 2026 Udaku Special
HABARI ZA SIASA

Rais Samia Afanya Uteuzi na Uhamisho wa Viongozi Mbali Mbali

July 23, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Amos Makalla ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha
Next: Jinsi Nilivyofanikiwa Kupata Utajiri Kupitia Money Spell

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Timu ya Mamelodi Sundowns Wamtaka Elie Mpanzu wa Simba

  • Yanga Yawatambulisha Mihambo na Abdulnassir ‘Gamal’ Kutoka Mashujaa

  • Yanga SC Wachezaji Wageni Wanabaki Hawa tu Wengine Wote Wanatemwa

  • Rais wa Laliga Amtaka Rais wa FIFA Ajiuzulu

  • Balaa! Harusi ya Monalisa katoro ni zaidi ya Sendoff, Pesa zamwagwa, Magari, Pol Brand aonyesha

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.