Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • Sports News
  • Mwamuzi Wa Tanzania Kuongoza Michezo Ya Kombe La Dunia!
Sports News

Mwamuzi Wa Tanzania Kuongoza Michezo Ya Kombe La Dunia!

September 29, 2025September 29, 2025 Udaku Special

Shirikisho la soka duniani, FIFA, limemchagua mwamuzi wa Tanzania, Ahmed Arajiga, kuchezesha mchezo muhimu wa kufuzu Kombe la Dunia 2026, kati ya Cape Verde na Eswatini!

Mchezo huu unatarajiwa Oktoba 13, nchini Cape Verde, na ushindi wa Cape Verde utawapa fursa ya moja kwa moja kufuzu Kombe la Dunia!

Tanzania iko kibao cha fahari kuona mwamuzi wake akiwakilisha taifa kwenye kiwango cha kimataifa!

Related Posts

HABARI ZA SIASA Sports News

Taarifa Mpya Kutoka Bungeni Kuhusu Waziri Mkuu Mpya wa Tanzania

November 12, 2025November 12, 2025 ajirayako
Sports News

Huyu Hapa Golikipa Mwenye Mafanikio zaidi Tanzania

November 12, 2025November 12, 2025 ajirayako

Post navigation

Previous: Harmonize Afokewa na Meneja wake Hadharani Wakishuka kwenye Ndege, Konde Aandika haya Kuhusu hili
Next: Waliomteka na Kumuua Mwanafunzi wa Mzumbe Wakamatwa

Popular Posts

  • Dudu Baya Akinukisha Teana Baada ya Kuona Video ya Mkubwa Fela na Mkewe

  • Arsène Wenger “Africa Nzima ilikuwa Dhidi ya Morocco”

  • BREAKING; CAF Yamsimamisha Kazi Kocha wa Senegal

  • Rais Museveni wa Uganda Amteua Binti yake Bi. Natasha Museveni kuwa Gavana wa Benki Kuu

  • Klabu ya Simba SC imemtangaza rasmi Kocha Msaidizi, Matola Ndio Basi Tena

  • Yaya Touré “Nimependa Walichokifanya Senegal, Sijali Fairplay”

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.