Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Ahmed Ally Aomba Pambano la Ngumi Simba na Yanga
HABARI ZA MICHEZO

Ahmed Ally Aomba Pambano la Ngumi Simba na Yanga

December 11, 2025December 11, 2025 ajirayako

Meneja wa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram Leo Disemba 11 amesema ametafuta namna ya kuwanyamazisha midomo mashabiki wa Yanga na ameona ikiwezekana liandaliwe pambano la Ngumi au mechi ili wawapelekee motoo.

Aidha baada ya kuchapisha habari hiyo meneja wa habari na mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe amejibu hoja ya Ahmed Ally kwa kumuuliza ‘Hujachoka kugawa Utamu’? Aliuliza Kamwe.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Pochettino Atangaza Timu yake ya Marekani Kombe la Dunia

May 28, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Bingwa wa masumbwi Crawford kutoka Marekani atinga Hifadhi ya Taifa Tarangire

May 27, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: TANZIA: Mbunge Jenista Mhagama Afariki Dunia
Next: Ali Kamwe Amjibu Ahmedy Ally Kuhusu Pambano la Ngumi la Yanga na Simba Aliloomba

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Simba Akwea Kileleni, Chama Nyota Mechi ya 5 Mfululizo

  • Mchungaji Maarufu Nchini Nigeria Awaomba Msamaha Mashabiki wa Arsenal Baada ya Utabiri wa Uongo

  • A to Z Tukio la KUTEKWA Kwa msaidizi wa Lissu! Mwenyewe Aelezea Ilivyokuwa”Walitaka Kunimaliza”

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.