Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Ahmed Ally: Niko Bongo Kuhakikisha Boss Wako Hapati Ubunge Kongwa
HABARI ZA MICHEZO

Ahmed Ally: Niko Bongo Kuhakikisha Boss Wako Hapati Ubunge Kongwa

August 17, 2025August 17, 2025 Udaku Special

Ameandika Ahmed Ally msemaji wa Simba kwenda kwa Ally Kamwe:

“Unauliza kwanini timu ipo Misri mimi nipo Bongo, Ok nimebaki Mjini kuhakikisha Rais wako hapati Ubunge Kongwa na Kigamboni”

Hii inakuja mara baada ya kauli ya msemaji wa Yanga Ali Kamwe kusema kuwa ukiacha na kuongea kuna baadhi ya wasemaji hawajui kingine chochote ,ndiyo maana timu ipo Misri yeye yupo bongo

NB:Ali Kamwe atajibu kweli hapa?

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Wachezaji Wa Simba SC Walioitwa Timu Zao Za Taifa

March 25, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

HATIMAYE Mchezaji Mo Salah Atangaza Kuachana na Liverpool

March 25, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Aliniahidi ndoa kumbe alikuwa anitumia kuongeza utajiri wake wa kiroho
Next: Taifa Stars Kuivaa Morocco Robo Fainali, Kenya Kuivaa Madagascar

Popular Posts

  • Mbinu 5 za Kumfanya Mwanaume Ageuke Kuwa Sumaku Kwa Wanawake

  • Mbinu Nzuri Ya Kutongoza Kwa Wale Wanaoanza Kujifunza

  • Drogba Atoa Kauli Kupokonywa UBINGWA Senegal

  • Rais wa Senegal Atuma Salamu CAF, Atishia Kugomea Mashindano

  • Wastara Amlipua Vibaya Dudu Baya Baada ya Kumuita “Ombaomba” Amwambia haya mazito “uweke na namba”

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.