Ameandika @mzeewajambia Kwa Mujibu wa CAF STADIUM REGURALATIONS uwanja wa Amani Zanzibar haukidhi Kupokea Mchezo wa Fainali..✍️

Uwanja wa Amani Zanzibar upo CATEGORY 3 na ili uwanja uweze Kukidhi Kuchezwa Fainali ya Mashindano ya CAF(Caf Interclub Competitions) unatakiwa Kuwa CATEGORY 4.

Maana yake uwanja wa Amani Unakosa Vitu vya Msingi vya Category 4 Kama

1.Eneo na Idadi Kwa Mashabiki

2.Idadi na Eneo Kwa Dressing room

3.Idadi na Eneo kwa Press Conference

4.Idadi kwa Eneo kwa VIP na VVIP

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *