Andy Boyeli amefunga magoli mawili wakati Wananchi, Young Africans wakiibuka na ushindi mnono wa 4-1 dhidi ya KMC Fc na kukwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu bara, alama 10 baada ya mechi 4.
FT: Yanga Sc 4-1 KMC Fc
โฝ 36โ Maxi
โฝ 74โ Pacome
โฝ 81โ Boyeli (P)
โฝ 90+3โ Boyeli
โฝ 43โ Saliboko
