Andy Boyeli Atupia Magoli Mawili Yanga Ikikaa Kileleni mwa Ligi

Andy Boyeli amefunga magoli mawili wakati Wananchi, Young Africans wakiibuka na ushindi mnono wa 4-1 dhidi ya KMC Fc na kukwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu bara, alama 10 baada ya mechi 4.

FT: Yanga Sc 4-1 KMC Fc
โšฝ 36โ€™ Maxi
โšฝ 74โ€™ Pacome
โšฝ 81โ€™ Boyeli (P)
โšฝ 90+3โ€™ Boyeli

โšฝ 43โ€™ Saliboko

Related Posts