Andy Boyeli amefunga magoli mawili wakati Wananchi, Young Africans wakiibuka na ushindi mnono wa 4-1 dhidi ya KMC Fc na kukwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu bara, alama 10 baada ya mechi 4.
FT: Yanga Sc 4-1 KMC Fc
β½ 36β Maxi
β½ 74β Pacome
β½ 81β Boyeli (P)
β½ 90+3β Boyeli
β½ 43β Saliboko
