Azam Yasukumwa Nje ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Yapokea Kichapo Kitakatifu

Wanalambalamba, Azam FC wamesukumizwa nje ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCL) kufuatia kipigo cha 2-0 ugenini dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco kwenye mchezo wa mwisho wa kundi B.

Kwenye mchezo mwingine wa kundi hilo, Nairobi United imekamilisha ratiba kwa kipigo cha 3-0 dhidi ya Maniema ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

FT: Wydad AC πŸ‡²πŸ‡¦ 2-0 πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Azam FC
⚽ 64’ Msindo (og)
⚽ 90+4’ Nassi

FT: Maniema πŸ‡¨πŸ‡© 3-0 πŸ‡°πŸ‡ͺ Nairobi United
⚽ 05’ Namboka
⚽ 29’ Namboka
⚽ 44’ Mboma Kinda
πŸŸ₯ 57’ Machaga

Related Posts